Tuesday 21 October 2014

AIBU YA TAIFA! MISS TANZANIA 2014 MNAIAIBISHA NCHI YETU!

Inasikitisha sana kuona shindano kubwa kama hili la Miss Tanzania linaendeshwa kiolela olela... Why is Tanzania lying to the nation about Miss Tanzania's age???? WHY? Sitti Mtemvu there's no way you where born in 1991. I repeat NO WAY! afu isitoshe hiki ni cheti kipya where is your old cheti? aibu aibu and inasikitisha sana.

MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!


Kamati ya Miss Tanzani imesema kuwa haiwezi kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa kuwa hawajui vigezo vinavyotakiwa
Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.

Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha kuzaliwa.

Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na vigezo vinavyotakiwa
 
CREDIT:EAST AFRICA TV

THEEBOSSYLADY HUDDAH MANROE SPOTTED WITH WIZKID!


It was Davido.... Now Wizkid! YEAH Thats THEEBOSSLADY HUDDAH!

Legendary fashion designer Oscar de la Renta dies at 82!


Legendary fashion designer Oscar de la Renta has died. He was 82. According to a statement released by his family, he died at home yesterday evening in his home in Kent, Connecticut surrounded by family. The statement didn't specify his cause of death but he'd been battling cancer for a while.
"While our hearts are broken by the idea of life without Oscar, he's still very much with us. Oscar's hard work, his intelligence and his love of life are at the heart of our company. We will make Oscar very proud of us by continuing in an even stronger way the work that Oscar loved so much" the statement read.
He worked as a designer for Balenciaga, Lanvin, Elizabeth Arden before launching his label in 1965. He rose to fame in the U.S. for dressing First Lady Jacqueline Kennedy.

He's survived by a wife, a son, stepchildren and step grandchildren. May his soul rest in peace...

BREAKING NEWS:JUSTICE HAS BEEN DONE! Oscar Pistrious sentenced to 5 years in prison


 The late Reeva Steenkamp and Oscar Pistrious
 Oscar sentences to 5 years in prison for killing girlfriend!
 Oscar Pistrious
 With late girlfriend Reeva
For killing his girlfriend Reeva Steenkamp on Valentine's Day in 2013, Oscar Pistorius has been sentenced to 5 years in prison.
The following what was she considered before imposing her sentence
1. Culpable homicide - 5 years in prison
2. For possession of fire-arms, he was sentence to 3 years, suspended for 5 years
The two sentences will run concurrently

BEAUTIFUL HANDBAGS FOR CLASSY LADIES AVAILABLE FOR SALE AT HOUSE OF COUTURE SUMBAWANGA: CALL +255762200027 AND GET YOURS NOW!

 Also available in RED & ORANGE!












PHOTOS: SHAA PERFOMING LIVE AT THE SERENGETI FIESTA 2014!

 I see you!







Loved her performance.... Malkia wa Uswazi you did us proud!